BIASHARA UNITED YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA
HomeMichezo

BIASHARA UNITED YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

 MARWA Chamberi, Kocha Msaidizi wa Klabu ya Biashara United amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Yanga u...

ALIYEIMALIZA SIMBA KWA MKAPA APANIA KUFUNGA SANA
BONDIA MANNY PACQUIAO ASTAAFU, NGUVU ZAKE AZIHAMISHIA HUKU
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI

 MARWA Chamberi, Kocha Msaidizi wa Klabu ya Biashara United amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Yanga utakaochezwa Uwanja wa Mkapa na wanahitaji pointi tatu.

Biashara United inakumbuka kwamba mchezo uliopita dhidi ya Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 jambo ambalo litawafanya waingie uwanjani wakiwa na hasira za  kulipa kisasi.

Pia kwenye mchezo wao wa ligi uliopita wakiwa maskani yao pale Mara, Uwanja wa Karume walifungwa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union huku wapinzani wao Yanga wakiwa wametoka kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya KMC, Uwanja wa Mkapa.

Kocha huyo amesema:"Tunatambua kwamba tunakutana na Yanga ambayo ni timu kubwa tunaiheshimu ila haifanyi kwamba tuhofie kupata pointi tatu.

"Ukianzia kwa wachezaji wapo tayari na wanatambua kwamba haitakuwa kazi rahisi, mashabiki wajitokeze kutupa sapoti kikubwa ambacho tunahitaji ni pointi tatu," amesema.

Kwenye msimamo, Biashara United ipo nafasi ya nne na imekusanya jumla ya pointi 40 baada ya kucheza mechi 25 inakutana na Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 51 baada ya kucheza mechi 24.

Mchezo huo utachezwa Uwanja wa Mkapa, majira ya saa 1:00 usiku.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: BIASHARA UNITED YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA
BIASHARA UNITED YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_XpGIDjTDuMt_evpnwot6Uscw876GzcB4vBAW1vBQhOdqBl5-aqCN0bfC_MuB-LzMJ1ooldwH0R_MGPmZ_x9xTIMPq-iPpf3YSY573X_IzEyZvVRm0tDzoOqnM_I1dVc4zUJ6NvvIfFFb/w620-h640/Biashara+mpya.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_XpGIDjTDuMt_evpnwot6Uscw876GzcB4vBAW1vBQhOdqBl5-aqCN0bfC_MuB-LzMJ1ooldwH0R_MGPmZ_x9xTIMPq-iPpf3YSY573X_IzEyZvVRm0tDzoOqnM_I1dVc4zUJ6NvvIfFFb/s72-w620-c-h640/Biashara+mpya.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/biashara-united-yazitaka-pointi-tatu-za.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/biashara-united-yazitaka-pointi-tatu-za.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy