WACHEZAJI YANGA WAPEWA ONYO BAADA YA KAZE KUCHIMBISHWA
HomeMichezo

WACHEZAJI YANGA WAPEWA ONYO BAADA YA KAZE KUCHIMBISHWA

  BAADA ya Klabu ya Yanga kuachana na benchi lao la ufundi lililokuwa likiongozwa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze wachezaji nao wamepewa onyo k...


 BAADA ya Klabu ya Yanga kuachana na benchi lao la ufundi lililokuwa likiongozwa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze wachezaji nao wamepewa onyo kuacha uzembe ndani ya uwanja katika kusaka matokeo.


Kwa mujibu  wa Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi ndani ya Klabu ya Yanga, Dominick Albinus amesema kuwa baada ya kuachana na Kaze walikaa kikao na wachezaji ili kupeana hesabu za wakati ujao.

“Tumewaambia kwamba wachezaji wetu tayari tumeachana na benchi la ufundi ni kwa sababu yao wenyewe kushindwa kupata matokeo ndani ya uwanja kwenye mechi walizokuwa wakicheza.

“Hivyo kwa kuwaambia hivyo inamaanisha kwamba nao wana kazi ya kuwa makini katika kutimiza majukumu yao kwani kwa sasa timu inahitaji matokeo chanya ndani ya uwanja ili kuweza kufikia mafanikio,” amesema.

Kaze alifutwa kazi rasmi ndani ya Yanga,Machi 7 na mchezo wake wa mwisho ilikuwa mbele ya Polisi Tanzania ambapo alikamilisha kwa sare ya kufungana bao 1-1 baada ya dakika 90. 

Yanga kwenye msimamo ipo nafasi ya kwanza imekusanya jumla ya pointi 50 baada ya kucheza mechi 23, watani zake wa jadi Simba wapo nafasi ya pili na pointi zao ni 45 na wamecheza jumla ya mechi 19.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: WACHEZAJI YANGA WAPEWA ONYO BAADA YA KAZE KUCHIMBISHWA
WACHEZAJI YANGA WAPEWA ONYO BAADA YA KAZE KUCHIMBISHWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAcukQ10Bjx3ccrK3H6kIOWbjxIVicg2AsyqhJBFjo3qo8Fo_CedhOyGm0enjx1SD_oV_ZA3nsYYspyZQn-Q7lFwKignjmK7M7A_tQyTRquPqJorMEGqJFAlU20ZcjwGLvA7vOWDAku5dd/w640-h640/Sarpong+v+Mtibwa.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAcukQ10Bjx3ccrK3H6kIOWbjxIVicg2AsyqhJBFjo3qo8Fo_CedhOyGm0enjx1SD_oV_ZA3nsYYspyZQn-Q7lFwKignjmK7M7A_tQyTRquPqJorMEGqJFAlU20ZcjwGLvA7vOWDAku5dd/s72-w640-c-h640/Sarpong+v+Mtibwa.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/wachezaji-yanga-wapewa-onyo-baada-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/wachezaji-yanga-wapewa-onyo-baada-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy