Dakika ya 20 Yondani anaokoa hatari iliyojazwa ndani ya 18 na Kisinda wanapata Yanga kona mbili zinapigwa na Niyonzima hazileti matunda...
Dakika ya 20 Yondani anaokoa hatari iliyojazwa ndani ya 18 na Kisinda wanapata Yanga kona mbili zinapigwa na Niyonzima hazileti matunda
Dakika ya 18 Fiston anachezewa faulo nje kidogo ya lango na Yondan
Dakika ya16 Yondani anaanua majalo
Dakika ya 13 Tonombe Mukoko anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 11 Saliboko anafanya jaribio ndani ya 18 linakwenda juu kidogo nje ya 18
Haruna Niyonzima ameanza leo, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Kwa sasa ni dakika ya 12
6, Polisi Tanzania 0-0 Yanga
Dakika ya 5 Niyonzima alifanya jaribio lilipaa juu ya lango akiwa ndani ya 18
Credit: SALEH JEMBE
Please subscribe to get all sports news instantly
COMMENTS