SEKESEKE LA MORISSON KUDAIWA KUGOMBANA NA KOCHA LAZUA JAMBO
HomeMichezo

SEKESEKE LA MORISSON KUDAIWA KUGOMBANA NA KOCHA LAZUA JAMBO

 BERNARD Morrison nyota wa Simba amezua utata kutokana na habari kuelezwa kuwa amekuwa na ugomvi na kocha Didier Gomes jambo ambalo limepi...


 BERNARD Morrison nyota wa Simba amezua utata kutokana na habari kuelezwa kuwa amekuwa na ugomvi na kocha Didier Gomes jambo ambalo limepingwa vikali na uongozi wa Simba.

Morrison ambaye alijiunga na Simba akitokea Klabu ya Yanga amekuwa hana nafasi kikosi cha kwanza chini ya Gomes licha ya kucheza kwenye baadhi ya mechi ambazo amesimamia kocha huyo.

Habari kwenye mitandao ya kijamii zilikuwa zikieleza kwamba Morrison alikuwa na mgogoro na Gomes jambo ambalo lilimfanya asimtumie kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania, Uwanja wa Mkapa.

Mchezo huo ulipokamilika dakika 90, ubao ulisoma Simba 3-0 JKT Tanzania na kuifanya Simba kusepa mazima na pointi tatu huku JKT Tanzania ikiambulia patupu.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa hakuna ukweli unaozungumzwa kwamba Morrison amegomabana na Gomes hivyo huo ni uzushi na unapaswa kupuuziwa.

"Tetesi za kusema mchezaji kagombana na kocha? Tetesi ni stori za usajili, kwa nini tukae kimya kwenye stori za uchochezi klabuni? .

Sekeseka hilo limemuibua Manara ambaye ameweka wazi kwamba hatakaa kimya ikiwa kutakuwa na habari za uchochezi kuhusu Simba.





Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SEKESEKE LA MORISSON KUDAIWA KUGOMBANA NA KOCHA LAZUA JAMBO
SEKESEKE LA MORISSON KUDAIWA KUGOMBANA NA KOCHA LAZUA JAMBO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0ym429YutmJCa8RQbWliL2UmixC_Tu64EwLmiuWXvcoDY5TIWfgqNs1p6XXwCWXZ_0b8_b7WQaGuE6ovfk0f4roirjDSMJkMUawazffBqI4NQvF3wZUVYSyyAZTfqRn6xFLhxzBfYf8ZC/w640-h424/bm+simba.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0ym429YutmJCa8RQbWliL2UmixC_Tu64EwLmiuWXvcoDY5TIWfgqNs1p6XXwCWXZ_0b8_b7WQaGuE6ovfk0f4roirjDSMJkMUawazffBqI4NQvF3wZUVYSyyAZTfqRn6xFLhxzBfYf8ZC/s72-w640-c-h424/bm+simba.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/sekeseke-la-morisson-kudaiwa-kugombana.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/sekeseke-la-morisson-kudaiwa-kugombana.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy