Mzee Mwinyi: Rais Magufuli Amefanya Mambo Mengi Yaliyokuwa Yameshindikana Kwa Miaka Mingi
HomeHabari

Mzee Mwinyi: Rais Magufuli Amefanya Mambo Mengi Yaliyokuwa Yameshindikana Kwa Miaka Mingi

Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mzee Ally Hassan Mwinyi amesema katika kipindi cha uongozi wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli,...


Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mzee Ally Hassan Mwinyi amesema katika kipindi cha uongozi wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli, nchi imepiga hatua kubwa kimaendeleo na kuushangaza ulimwengu.

Akitoa salamu jana March 27, 2021 katika uwanja wa Magufuli wilayani Chato mkoani Geita ilipofanyika Misa Takatifu ya Mazishi ya Dkt Magufuli, Mzee Mwinyi alisema kiongozi huyo alikuwa si mtu wa maneno, bali alikuwa  mtu wa vitendo na aliyependa matokeo.

Mzee Mwinyi alisema katika kipindi kifupi cha takribani miaka mitano Dkt Magufuli ameweza kufanya mambo makubwa ambayo watangulizi wake walishindwa kuyafanya kwa takribani miaka 40 , ikiwa ni pamoja na kutekeleza kwa vitendo ndoto ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamishia Makao Makuu ya nchi mkoani Dodoma.

Mambo mengine ni kuiunganisha Tanzania kwa barabara za lami na kuboresha usafiri wa anga kwa kulifufua Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).

Rais Mstaafu Mwinyi alisema kifo cha Dkt Magufuli binafsi kimemsikitisha sana, kwani alikuwa ni kiongozi aliyempenda sana.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Mzee Mwinyi: Rais Magufuli Amefanya Mambo Mengi Yaliyokuwa Yameshindikana Kwa Miaka Mingi
Mzee Mwinyi: Rais Magufuli Amefanya Mambo Mengi Yaliyokuwa Yameshindikana Kwa Miaka Mingi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZSSlFr3dd1ZVopZqH2ol9odGjv2E4VLI07P7HbuENIn1a52eYclx_unRWDnk2Q_cy_cihqDNVaZV9GRVSwueA8ULrSTp6K9W5WR2euqzWg3yRHJjjA0z4jTBkz0l3AYDVqbOxtXAxQYCV/s16000/1.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZSSlFr3dd1ZVopZqH2ol9odGjv2E4VLI07P7HbuENIn1a52eYclx_unRWDnk2Q_cy_cihqDNVaZV9GRVSwueA8ULrSTp6K9W5WR2euqzWg3yRHJjjA0z4jTBkz0l3AYDVqbOxtXAxQYCV/s72-c/1.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/mzee-mwinyi-rais-magufuli-amefanya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/mzee-mwinyi-rais-magufuli-amefanya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy