KLOPP ANAAMINI KWAMBA AKIFUTWA KAZI ITAKUWA NGUMU KUMPATA MBEBA MIKOBA YAKE
HomeMichezo

KLOPP ANAAMINI KWAMBA AKIFUTWA KAZI ITAKUWA NGUMU KUMPATA MBEBA MIKOBA YAKE

JURGEN Kloop, Kocha Mkuu wa Klabu ya Liverpool amesisistiza kuwa ikiwa atafutwa kazi ndani ya timu hiyo kwa sasa kutokana na mwendo mbovu...



JURGEN Kloop, Kocha Mkuu wa Klabu ya Liverpool amesisistiza kuwa ikiwa atafutwa kazi ndani ya timu hiyo kwa sasa kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo haoni mbeba mikoba yake ambaye anaweza kufanya vizuri zaidi yake.

Mwendo ambao anakwenda nao kwa sasa ndani ya Liverpool ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England unafanishwa na ule wa msimu wa 2014/15 zama zile alipokuwa akikinoa kikosi cha Borussia Dortmund ambacho kinashiriki Bundesliga.

Klopp kwa sasa kikosi chake asilimia kubwa nyota wake wa kikosi cha kwanza wanatibu majeraha ya muda mrefu ambapo huduma ya nyota wake, Virgil van Dijk, Joe Gomes na Joe Matip ambao bado hawajarejea ndani ya uwanja anakosa.

Kocha huyo amesema kwamba wapo watu ambao wanafikiria ameishiwa mbinu na hawezi kufanya vizuri jambo ambalo anaamini yeye ni kwamba hakuna anayeweza kubadili kila kitu hata akiletwa kocha mpya hakuna ambaye anaweza kufikia ubora wake.

"Nadhani kwamba kuna mtu anafikira kwamba anaweza kuja kocha mpya hapa sawa hilo sikatai kwa sababu mimi sina maamuzi. Lakini ipo wazi kabisa kwa kuwa wao wana maamuzi hiyo kwangu sio kesi katika hilo ambalo wataamua.

"Ila ukweli ni kwamba hakuna kocha ambaye anaweza kufanya vizuri, nadhani hakuna ambaye anaweza akafanya vizuri kwa namna ambavyo wanafikiri kwa sasa bado ni lazima kuwa na muda wa kufikiria na kuamua hivyo ni suala la kusubiri.

"Ilikuwa ni kama nilivyokuwa ndani ya Drtmund, hali ilikuwa mbaya ila wachezaji wangu wengi walikuwa ni mejeruhi sikuwa na chaguo wala jambo la kufanya." amesema.






Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KLOPP ANAAMINI KWAMBA AKIFUTWA KAZI ITAKUWA NGUMU KUMPATA MBEBA MIKOBA YAKE
KLOPP ANAAMINI KWAMBA AKIFUTWA KAZI ITAKUWA NGUMU KUMPATA MBEBA MIKOBA YAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3Pt0OkkYa52WUNkoY58bp2OxQJV0nc7D5lisRGC4rtPhjr8f9ksNdHGXced71rewjylaHYAV-mZHP1qfbGAKtpHJWn_lJiQfdp7YEB4tx8CUp3wUz7ycMC1OFrIQWpCnfw8JkC3DMTcSz/w640-h522/Klop+mkwara.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3Pt0OkkYa52WUNkoY58bp2OxQJV0nc7D5lisRGC4rtPhjr8f9ksNdHGXced71rewjylaHYAV-mZHP1qfbGAKtpHJWn_lJiQfdp7YEB4tx8CUp3wUz7ycMC1OFrIQWpCnfw8JkC3DMTcSz/s72-w640-c-h522/Klop+mkwara.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/klopp-anaamini-kwamba-akifutwa-kazi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/klopp-anaamini-kwamba-akifutwa-kazi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy