SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU KUZUIWA KWA NAMUNGO NA JESHI ANGOLA
HomeMichezo

SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU KUZUIWA KWA NAMUNGO NA JESHI ANGOLA

WAZIRI Mkuu wa Tanzania,Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itafuatiliwa suala la timu ya Namungo FC kushikiliwa na jeshi la Polisi nchi...


WAZIRI Mkuu wa Tanzania,Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itafuatiliwa suala la timu ya Namungo FC kushikiliwa na jeshi la Polisi nchini Angola.

Namungo FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Morocco, jana Februari 12 ilikwea pipa kuelekea nchini Angola kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya 1 de Agosto ya Angola ikiwa ni hatua ya 32 bora.

Leo imetoka ripoti kwamba timu hiyo imezuiwa kuinga nchini Angola ilipowasili Uwanja wa ndege wa Luanda kwa kile ambacho kimeelezwa kuwa wachezaji watatu wana Virusi vya Corona na kiongozi mmoja kwenye msafara huo jambo ambalo limewafanya wapewe machaguo mawili, moja kwenda karantini ama kurejea Tanzania.

Mchezo wao wa Kombe la Shirikisho unatarajiwa kuchezwa kesho, Februari 14,nchini Angola.

Akiwa bungeni, leo Februari 13, Majaliwa amesema:"Klabu ya Namungo inashikiliwa na jeshi la Angola na tunajua kwamba hizo ni sehemu za siasa za mpira. Kwa hilo ambalo limetokea tutalifuatilia kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania.

 "Tunawatakia kila la kheri kwenye mchezo wa kesho na tutaifuatilia ili tuhakikishe kwamba inarudi Tanzania salama,".



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU KUZUIWA KWA NAMUNGO NA JESHI ANGOLA
SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU KUZUIWA KWA NAMUNGO NA JESHI ANGOLA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEimbSTQOCiRz4JXNHlj5UwEzCgAa4Oe3hmCvB-Lj2DODREngk_NdHMoz2Cyq-riEkNaK1y3IF7IzTQCucl1R1mJFDwh2FBRH9wKT61PMIe0x52E9bsRJZomhbb3oDtUj0W6fk-H3ThzQ78y/w640-h530/Namungo+2020.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEimbSTQOCiRz4JXNHlj5UwEzCgAa4Oe3hmCvB-Lj2DODREngk_NdHMoz2Cyq-riEkNaK1y3IF7IzTQCucl1R1mJFDwh2FBRH9wKT61PMIe0x52E9bsRJZomhbb3oDtUj0W6fk-H3ThzQ78y/s72-w640-c-h530/Namungo+2020.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/serikali-yatoa-tamko-kuhusu-kuzuiwa-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/serikali-yatoa-tamko-kuhusu-kuzuiwa-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy