PAWASA: SIMBA ILI IFANYE VIZURI KIMATAIFA IONGEZE NGUVU KWENYE KIUNGO MKABAJI
HomeMichezo

PAWASA: SIMBA ILI IFANYE VIZURI KIMATAIFA IONGEZE NGUVU KWENYE KIUNGO MKABAJI

BEKI wa zamani wa Klabu ya Simba, Boniface Pawasa amesema kuwa ili Simba iweze kutusua kimataifa ni lazima iwe na kiungo mkabaji makini am...


BEKI wa zamani wa Klabu ya Simba, Boniface Pawasa amesema kuwa ili Simba iweze kutusua kimataifa ni lazima iwe na kiungo mkabaji makini ambaye atakuwa anatuliza mipira pamoja na hatari ndani ya uwanja.

Simba kwa sasa ina viungo wakabaji wawili ambao ni chaguo la kwanza kwa Kocha Mkuu, Didier Gomes, Mzamiru Yassin na Thadeo Lwanga huku Jonas Mkude na Said Ndemla wakiwa bado hawajapata nafasi kwenye kikosi chake.

Leo kikosi kinatarajia kukwea pipa kuelekea Congo majira ya saa 10:00 jioni ambapo kina mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi dhidi ya AS Vita unaotarajiwa kuchezwa Februari 12.

Akizungumza na Saleh Jembe, Pawasa ambaye kwa sasa ni Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ya Ufukweni, amesema kuwa kila kitu kinawezekana ikiwa watakuwa na kiungo mkabaji makini.

"Kwenye mechi za kimataifa ni muhimu kuwa na kiungo mkabaji mwenye nguvu na uwezo wa kukaa na mpira muda mwingi jambo litakalopunguza mashambulizi kwa upande wao.

"Kwa namna ambavyo nimeona kikosi cha Simba kikiwa na Lwanga bado kuna kitu kinahitajika kwa upande wa kiungo mkabaji kwa kuwa ulimwengu wa mpira umebadilika.

"Nimemuona Lwanga naona bado anajitahidi ila hajawa kwenye ule ubora wake ambao ninaujua. Ninawajua wachezaji wanaotoka Uganda ni watu wa nguvu sana hivyo ni suala la kusubiri na kuona namna gani inaweza kuwa," amesema.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: PAWASA: SIMBA ILI IFANYE VIZURI KIMATAIFA IONGEZE NGUVU KWENYE KIUNGO MKABAJI
PAWASA: SIMBA ILI IFANYE VIZURI KIMATAIFA IONGEZE NGUVU KWENYE KIUNGO MKABAJI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3gNYqJJQtd_kWPeXdl9hi2oaljWFJFgXX7teNF_fLpnuNK3O4Dq5kHYzEd-Plr2shk6mCUpbH2ZLVunHcUd06_z9mUCQd9lNeCwsfASPHQW0B-s_aEqer-vkOFCLpI1DTXWQ77K5I9NDA/w640-h598/Taddeo.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3gNYqJJQtd_kWPeXdl9hi2oaljWFJFgXX7teNF_fLpnuNK3O4Dq5kHYzEd-Plr2shk6mCUpbH2ZLVunHcUd06_z9mUCQd9lNeCwsfASPHQW0B-s_aEqer-vkOFCLpI1DTXWQ77K5I9NDA/s72-w640-c-h598/Taddeo.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/pawasa-simba-ili-ifanye-vizuri.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/pawasa-simba-ili-ifanye-vizuri.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy