KUMBE! WACHEZAJI WAMEMGOMEA MKUDE SIMBA
HomeMichezo

KUMBE! WACHEZAJI WAMEMGOMEA MKUDE SIMBA

  PAMOJA na kamati ya nidhamu ya Simba kutoa tamko la kumtaka Jonas Mkude kuingia kambini mara baada ya kusikiliza na kuamua juu ya tuhuma...


 PAMOJA na kamati ya nidhamu ya Simba kutoa tamko la kumtaka Jonas Mkude kuingia kambini mara baada ya kusikiliza na kuamua juu ya tuhuma zake za utovu wa nidhamu, imebainika wazi kuwa wachezaji wenzake wamemgomea kuingia kambini hadi akose michezo 10.

 Mkude alisimamishwa na uongozi wa Simba,Desemba 28,2020 kwa madai ya kuonyesha tabia ya utovu wa nidhamu, jambo ambalo lilipelekwa kamati ya nidhamu ya klabu hiyo, ambayo inaongozwa na Kamanda Mstaafu wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam, Selemani Kova, kumpiga adhabu kulipa faini ya Sh mil 1, karipio kali na kuwekwa katika kipindi cha uangalizi cha miezi sita huku ikimtaka aombe radhi.

 

Chanzo chetu kutoka ndani ya kambi ya Simba, kimeeleza  kwamba, wachezaji wa klabu hiyo kwa jumla wamepinga kurejeshwa kambini kwa Jonas Mkude kwa madai ya kuwa hadi amalize adhabu yao waliyompa ya kuwa nje ya kikosi hadi mechi 10 zitakapomalizika.

 

“Mkude kwa sasa hawezi kuingia kambini kutokana na uongozi wa wachezaji kwa jumla kukataa kumruhusu kurejea hadi atakapomaliza kutumikia adhabu yao waliyompa ya kutohusika kwenye mechi 10 za timu.


 "Kauli yao imeleta malalamiko kwa baadhi ya viongozi huku wengine wakijaribu kuwashawishi wachezaji ili wamruhusu kuingia mazoezini, jambo ambalo wamegomea na kuutaka uongozi kama utalazimisha basi hata wao siku wakitenda makosa wasiadhibiwe kwa namna yoyote ile kama Mkude atarejea kambini kabla ya kumaliza kutumikia adhabu yao hiyo,” kilieleza chanzo.

 

Tangu asimamishwe mpaka sasa Mkude amekosa mechi nane ambazo Simba wamecheza za michuano yote hivyo amebakiza michezo miwili kabla ya kurejeshwa rasmi.





Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KUMBE! WACHEZAJI WAMEMGOMEA MKUDE SIMBA
KUMBE! WACHEZAJI WAMEMGOMEA MKUDE SIMBA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifcF8GhWwlkxlQ73RUaxAJhnxsCYT6g-LKuw2mRT3Sohi85p8pBDfEVnYSm3CFPjjYOqRoMuJdb7WFB5JR1o-MOmqiGYYAVk5K6UMTyPhdkw0WBq1TzFLAft-VwSZnVk8oO8YwMigyUdcy/w640-h320/Mkude+bana.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifcF8GhWwlkxlQ73RUaxAJhnxsCYT6g-LKuw2mRT3Sohi85p8pBDfEVnYSm3CFPjjYOqRoMuJdb7WFB5JR1o-MOmqiGYYAVk5K6UMTyPhdkw0WBq1TzFLAft-VwSZnVk8oO8YwMigyUdcy/s72-w640-c-h320/Mkude+bana.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/kumbe-wachezaji-wamemgomea-mkude-simba.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/kumbe-wachezaji-wamemgomea-mkude-simba.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy