GOMES AKIRI LIGI KUU BARA NI NGUMU, HESABU ZAKE KWA AZAM
HomeMichezo

GOMES AKIRI LIGI KUU BARA NI NGUMU, HESABU ZAKE KWA AZAM

DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mchezo wake wa jana Februari 4 dhidi ya Dodoma Jiji ulikuwa mgumu ila wamefanikiwa lengo la...


DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mchezo wake wa jana Februari 4 dhidi ya Dodoma Jiji ulikuwa mgumu ila wamefanikiwa lengo lao la kutwaa pointi tatu.

Timu ya Simba ilishinda mabao 2-1 dhidi ya Dodoma Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ikiwa ni mchezo wa kwanza kwa Gomes ndani ya ligi baada ya kupewa mikoba ya Sven Vandenroeck.

Mabao ya Simba yalifungwa na Meddie Kagere na lile la ushindi lilifungwa na Bernard Morrison huku lile la Dodoma Jiji likifungwa na Cleophance Mkandala.

Gomes amesema:-"Tulitambua kwamba utakuwa mchezo mgumu tangu awali kwa kuwa ligi ipo tofauti na ni ngumu, kila timu inahitaji pointi tatu hivyo nimeona wachezaji wangu walipambana.

"Kwa ushindi wa mwanzo sasa hapo tunageuza nguvu zetu kwenye mchezo wetu ujao dhidi ya Azam FC kwani lengo la kwanza ni pointi tatu kisha mambo mengine yanafuata.

"Hii itatusaidia kupunguza pointi ambazo tumeachwa na yule anayeongoza ligi hivyo bado tuna kazi kubwa ya kufanya," .

Simba inafikisha pointi 38 ikiwa imecheza mechi 16 imeachwa kwa jumla ya pointi sita na vinara Yanga ambao wana pointi 44 wakiwa wamecheza jumla ya mechi 18.

Mchezo wao unaofuata ni dhidi ya Azam FC utakaochezwa Februari 7, Uwanja wa Mkapa na leo kikosi kitarejea Dar kutoka Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao ujao.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: GOMES AKIRI LIGI KUU BARA NI NGUMU, HESABU ZAKE KWA AZAM
GOMES AKIRI LIGI KUU BARA NI NGUMU, HESABU ZAKE KWA AZAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJ2HWPpVFuryRzu8Sw5DD-viv8S86FCSFd65btRTBvGlcFy5k5QlU_HV0ZuMD5hUkkzPD3CkCHf7jQcfuZ_J8c5ycDhlezKVQDzcab-U5A33j8WOTMnNPuA1LxyKvm0QIesYKQoQ7W7KWR/w640-h536/Gomes+Dodoma.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJ2HWPpVFuryRzu8Sw5DD-viv8S86FCSFd65btRTBvGlcFy5k5QlU_HV0ZuMD5hUkkzPD3CkCHf7jQcfuZ_J8c5ycDhlezKVQDzcab-U5A33j8WOTMnNPuA1LxyKvm0QIesYKQoQ7W7KWR/s72-w640-c-h536/Gomes+Dodoma.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/gomes-akiri-ligi-kuu-bara-ni-ngumu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/gomes-akiri-ligi-kuu-bara-ni-ngumu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy