LAMPARD AWASHUKURU MABOSI WAKE
HomeMichezo

LAMPARD AWASHUKURU MABOSI WAKE

  LICHA ya kufutwa kazi ndani Chelsea, Frank Lampard ambaye alikuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo amesema kuwa ilikuwa ni heshima kwake kuwa Ko...

SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA UTATA WA KAULI YA MO NA SportPesa
KONDE BOY WA SIMBA CHAGUO LA GOMES ATAJA KINACHOMPA FURAHA
ARSENAL YATAMBA KUREJEA KWENYE UBORA

 


LICHA ya kufutwa kazi ndani Chelsea, Frank Lampard ambaye alikuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo amesema kuwa ilikuwa ni heshima kwake kuwa Kocha ndani ya timu hiyo hivyo anashukuru kwa yote.

Lampard alifutwa kazi, Januari 25 na taarifa rasmi ilieleza kuwa ulikuwa ni uamuzi mgumu ambao mmiliki na Bodi ya Chelsea haikutaka kuufanya kwa kuwa matokeo hayakuwa bora hivi karibuni.

Alitangazwa kuwa kocha ndani ya timu hiyo Julai 4 na amekiongoza kikosi hicho kwenye jumla ya mechi 84 anaondoka timu ikiwa nafasi ya 9 na pointi zake kibindoni ni 29.

Inaelezwa kuwa anayetajwa kubeba mikoba ya Lampard ndani ya Chelsea ni Thomas Tuchel ambaye alikuwa kocha ndani ya Klabu ya PSG ila alifutwa kazi kutokana na matokeo mabovu.

Lampard amesema:-"Kwa muda mrefu nimekuwa ndani ya Chelsea ila ninafurahi kufanya kazi hapo,ninapenda kuwashukuru mashabiki kwa sapoti ambayo wamenipa kwa muda wa miezi 18.

"Uongozi pia na wote ambao wamekuwa pamoja nami, ninajua kwamba changamoto ni jambo ambalo haliepukiki, ila kwa kushindwa kufikia mafanikio kwangu ni maumivu, ninaushukuru uongozi kiujumla na kila mmoja, nawatakia mafanikio mema," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: LAMPARD AWASHUKURU MABOSI WAKE
LAMPARD AWASHUKURU MABOSI WAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyznlBRywoBcIw86w5eUtZ5aihxBvXLmLhzLETWdsItfUXjALIiqMTBei78txMRqSJvf6Rs2B-hCi1RUtw9vJsnYCLsc_uk6KG8GKW2sjemeeSb88Eog0cAcA3nFMhAsus5XoLeNpUScWw/w640-h640/IMG_20210126_083007_861.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyznlBRywoBcIw86w5eUtZ5aihxBvXLmLhzLETWdsItfUXjALIiqMTBei78txMRqSJvf6Rs2B-hCi1RUtw9vJsnYCLsc_uk6KG8GKW2sjemeeSb88Eog0cAcA3nFMhAsus5XoLeNpUScWw/s72-w640-c-h640/IMG_20210126_083007_861.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/lampard-awashukuru-mabosi-wake.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/lampard-awashukuru-mabosi-wake.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy