BINGWA SIMBA SUPER CUP KUSEPA NA M 15,KESHO NI SIMBA V TP MAZEMBE
HomeMichezo

BINGWA SIMBA SUPER CUP KUSEPA NA M 15,KESHO NI SIMBA V TP MAZEMBE

 UONGOZI wa  Simba umeweka wazi kuwa zawadi atakazopata bingwa wa michuano ya Simba Super Cup iliyoanza Januari 27, 2021 ni fedha taslimu ...


 UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa zawadi atakazopata bingwa wa michuano ya Simba Super Cup iliyoanza Januari 27, 2021 ni fedha taslimu shilingi milioni 15, kikombe na medali.

 Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa wamepanga kutoa zawadi hiyo pamoja na kutoa burudani kwa mashabiki ambao watajitokeza kutazama mashindano hayo ambayo ni mara ya kwanza kufanyika ndani ya ardhi ya Bongo.


Katika mashindano hayo ni timu tatu ambazo zinashiriki ikiwa ni Simba wenyewe ambao ni wenyeji, Al Hilal ya Sudan na TP Mazembe ya Congo.


Simba ilianza mchezo wa ufunguzi Januari 27 na ilishinda mabao 4-1 dhidi ya Al Hilal na mchezo wa pili ulikuwa ni jana, Januari 29 ambapo Al Hilal ilishinda mabao 2-1 dhidi ya TP Mazembe.


Kilele ni kesho Januari 31 ambapo Simba itacheza na TP Mazembe na mshindi atapatikana kesho, Uwanja wa Mkapa.


Manara amesema baada ya mchezo wa mwisho kutakuwa na tafrija (after party) ambayo itafanyika ‘Kidimbwi Beach’ jijini Dar es Salaam.


Na siku hiyo kutakuwa msanii wa Bongo Fleva Zuchu ambaye katika mchezo wa mwisho wa michuano hiyo utakaopigwa Jumapili, Januari 31, 2021 kati ya Simba vs TP Mazembe atatoa burudani.

 

Manara amesema:-"Tumejipanga na tunawaomba mashabiki wajitokeze kwa wingi kushangilia na kuona burudani, pia atakuwepo Zuchu ambaye yeye mwenyewe amesema kuwa mchezaji anayemkubali ni Aishi Manula ila siyo kumzimia maana nyinyi hamuishiwi maneno.


"Ila hata kama akimzimia hakuna tatizo Manula anajulikana na ni miongoni mwa watu ambao huwa wanaandamwa wakifanya makosa licha ya kwamba ni kijana mtaratibu," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: BINGWA SIMBA SUPER CUP KUSEPA NA M 15,KESHO NI SIMBA V TP MAZEMBE
BINGWA SIMBA SUPER CUP KUSEPA NA M 15,KESHO NI SIMBA V TP MAZEMBE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBTCaLUyWwCuzHE9k9_nbJWhd8RQG32dPe0gzypkde3V6nSFQ95CmrMmY2haX0i_rwrmmaa8tfKtJt9o_1pla6GskzvCawjDTtlzkDUVCLqIrL9laqK3WfCdEF5shqPHYmENanAeMD99gL/w640-h428/Manara+na+Zuchu.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBTCaLUyWwCuzHE9k9_nbJWhd8RQG32dPe0gzypkde3V6nSFQ95CmrMmY2haX0i_rwrmmaa8tfKtJt9o_1pla6GskzvCawjDTtlzkDUVCLqIrL9laqK3WfCdEF5shqPHYmENanAeMD99gL/s72-w640-c-h428/Manara+na+Zuchu.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/bingwa-simba-super-cup-kusepa-na-m.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/bingwa-simba-super-cup-kusepa-na-m.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy