Emmanuel Okwi wa Simba (kulia) akikwatuliwa na beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' katika mechi baina ya timu hizo leo kwenye U...
Emmanuel Okwi wa Simba (kulia) akikwatuliwa na beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' katika mechi baina ya timu hizo leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Okwi.
Timu ya Simba SC ya jijini Dar es Salaam, leo imeendeleza ubabe dhidi ya Yanga SC baada ya kuifunga goli 1-0 goli lililowekwa kimiani na mshambuliaji Emmanuel Okwi katika dakika ya 53 kipindi cha pili Mechi hiyo ya ligi kuu imefanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ikuhudhuriwa
COMMENTS