Hiki ndicho alichokisema Zlatan juu ya wachezaji wa Chelsea baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
HomeMichezoKimataifa

Hiki ndicho alichokisema Zlatan juu ya wachezaji wa Chelsea baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu.

Mshambulizi mahiri wa Paris Saint-Germain Zlatan Ibrahimovic amewakosoa vibaya wachezaji wa Chelsea mara baada ya kumzonga mwamuzi ku...

Mshambulizi mahiri wa Paris Saint-Germain Zlatan Ibrahimovic amewakosoa vibaya wachezaji wa Chelsea mara baada ya kumzonga mwamuzi kupitiliza hali iliyosababisha kupewa kadi nyekundu.
Baada ya tukio hilo kutokea Ibrahimovic amewaita wachezaji wa Chelsea kuwa ni watoto 11 ambao walikuwa wamemzunguka.
Mchezaji huyo raia wa Sweden alitolewa nje mara baada ya kuzawaidiwa kadi nyekundu katika dakika ya 31 baada ya kumchezea madhambi Oscar, huku John Terry, Nemanja Matic na Gary Cahill wakimzonga punde tu baada ya tukio hilo.
Ibrahimovic ameendelea kusema kuwa hakuridhishwa hata kidogo na tabia ambayo waliionyesha wachezaji wa Chelsea.
"Nilipoiona ile kadi nyekundu nikahisi kama  mwamuzi hajui anachokifanya kiukweli, nilihisi pengine aliona kitu tofauti aisee," alisema Zlatan.
"Na kibaya zaidi kilichonisikitisha ni pale nilipoona wachezaji wa Chelsea wamenizunguka hasa baada ya kupewa ile kadi nyekundu, nilihisi kama kuna watoto 11 hivi wamenizunguka, nikaamua kuondoka zangu kwa sababu niliona na mwamuzi pia anakuja.
"Kiukweli sijui kama kweli Oscar aliumia au alikuwa anaigiza, lakini haijalishi, sio mbaya, muhimu ni kwamba tumefanikiwa kushinda mchezo huu, ngoja sasa tuangalie nini kitatokea mbeleni huko."
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Hiki ndicho alichokisema Zlatan juu ya wachezaji wa Chelsea baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
Hiki ndicho alichokisema Zlatan juu ya wachezaji wa Chelsea baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiQJpUSbKyiRMkphKDXQUewPCLR5IZtnFTvSxS9PyqvfC6CLLQy3BvuaTctdzxc20idEhI6Kj4T0t7bZUzFsFUkuh4OaOAbysFknl5jHck3NmRPAhPfc-o11PyIOkO0v61y3Gy2k96bT70/s1600/zlatan.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiQJpUSbKyiRMkphKDXQUewPCLR5IZtnFTvSxS9PyqvfC6CLLQy3BvuaTctdzxc20idEhI6Kj4T0t7bZUzFsFUkuh4OaOAbysFknl5jHck3NmRPAhPfc-o11PyIOkO0v61y3Gy2k96bT70/s72-c/zlatan.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/03/hiki-ndicho-alichokisema-zlatan-juu-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/03/hiki-ndicho-alichokisema-zlatan-juu-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy