KAMATI YA BUNGE YATAKA WALIMU WOTE NCHINI WASAJILIWE
HomeHabariKitaifa

KAMATI YA BUNGE YATAKA WALIMU WOTE NCHINI WASAJILIWE

KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii imetaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi ili kuwatambu...








KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii imetaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi ili kuwatambua na kuweka kiwango cha msingi cha kutoa huduma kote nchini.
Kamati hiyo ilisema kazi hiyo ifanywe na Tume ya Utumishi wa Walimu inayotarajia kuanza katika mwaka wa fedha 2015/16. Aidha, kamati hiyo imesema ili kukabiliana na changamoto ya Serikali kudaiwa na Bohari Kuu ya Dawa (MSD) zaidi ya Sh bilioni 93.3 mpaka mwisho mwa mwaka jana, ikataka Bunge kutunga sheria maalumu itakayoweka utaratibu wa fedha za MSD kupelekwa moja kwa moja kama ilivyo kwa ujenzi wa barabara.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Margaret Sitta alisema kamati inapongeza kusudio la Serikali kuanzisha Tume ya Utumishi wa Walimu nchini katika mwaka wa fedha 2015/16.
Alisema kamati inashauri tume hiyo kuanzishwa haraka ili kukabiliana na adha zinazowakabili walimu nchini na kurejesha hadhi ya taaluma ya ualimu nchini. Akizungumzia deni la Serikali kwa MSD, alisema deni hilo la bilioni 93.3 linachangia kwa kiasi kikubwa upungufu wa dawa vifaa tiba na vitendanishi katika hospitali, vituo vya afya na zahanati nchini.
Sitta alisema pia kiwango cha Bajeti ya Sekta ya Afya kilichopendekezwa na Azimio la Abuja la mwaka 2001 kizingatiwe.
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KAMATI YA BUNGE YATAKA WALIMU WOTE NCHINI WASAJILIWE
KAMATI YA BUNGE YATAKA WALIMU WOTE NCHINI WASAJILIWE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWXfeqkyCnShYorOP8FHsZyRKhI3YVMvL6aRut4yRT1wKMJTfj-1tczWSXCvIIDt8PyvdUhfOlB6BzPVzwx5YRHmXi39gSeSvAN4ZZ3O8kFzfZlry-hvxvlsQDPab_K5_CrK5WIkCsyDw/s1600/1.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWXfeqkyCnShYorOP8FHsZyRKhI3YVMvL6aRut4yRT1wKMJTfj-1tczWSXCvIIDt8PyvdUhfOlB6BzPVzwx5YRHmXi39gSeSvAN4ZZ3O8kFzfZlry-hvxvlsQDPab_K5_CrK5WIkCsyDw/s72-c/1.png
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/02/kamati-ya-bunge-yataka-walimu-wote.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/02/kamati-ya-bunge-yataka-walimu-wote.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy