MGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA
HomeHabariKitaifa

MGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA

Daladala zikiwa zimepaki katika Jiji la Mwanza kutokana na mgomo wa madereva. Taswira kutoka maeneo ya Jiji la Mwanza baada ya mgomo wa w...




Daladala zikiwa zimepaki katika Jiji la Mwanza kutokana na mgomo wa madereva.



Taswira kutoka maeneo ya Jiji la Mwanza baada ya mgomo wa waendesha daladala.


WAENDESHA magari ya kusafirisha abiria katika ya Jiji la Mwanza maarufu kama daladala leo wamefanya mgomo na kuziba njia zote zinazoingia mjini kutokana na maeneo waliyokuwa wanaegesha magari yao kwa ajili ya kusubiri abiria (stendi) kugawiwa wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la machinga kwa aijili ya shuhuli zao.
Daladala zikiwa zimeegeshwa wakati wa mgomo.
 
Hali hiyo imetokea leo asubuhi katika eneo la Stendi ya Tanganyika na Stend ya Soko Kuu jijini Mwanza ambapo yanaegesha magari ya kwenda Airport, Ilemela, Bwiru na Mwaloni ambapo madereva hao waliziba njia zote zinazo ingia kwenye maeneo hayo.
 
Mwenyekiti wa waendesha daladala Mkoani Mwanza, Hassan Dede Petro alisema hali hiyo imejitokeza kutokana na wafanyabiashara hao kuanza kugawana maeneo kwenye stendi hizo bila uongozi wa waendesha daladala kuwa na taarifa yeyote kuhusu suala hilo.
 
''Hali hii imejitokeza kwa sababu ya wafanyabiashara wadogodogo kuanza kujigawia maeneo katika eneo letu ambalo tunaegesha kwa ajili ya kusubiri wateja wetu (abiria)'' Alisema Petro.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa wafanyabiashara ndogondogo 'machinga' Said Tembo alisema walichukua uamuzi huo kutokana na kupata ruhusa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Magesa Mulongo kuwa watumie maeneo hayo kwa shuhuli zao za kufanyabiashara kwenye maeneo ya stendi hizo.
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA
MGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA
http://api.ning.com/files/VKfK12aD*TXjfk-4T7tG5ejxusrEgKsSLLt-hA6nCFCi2S2LwkUzhnDjlB3HrBcLZzb61dHZDxcgpGG7-oouqItQ56x*mVE*/MGOMO18.JPG?width=650
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/mgomo-wa-waendesha-daladala-jijini.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/mgomo-wa-waendesha-daladala-jijini.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy