MANCHESTER CITY YAPELEKEWA MBELE SIKU YA KUTWAA TAJI LA LIGI KUU ENGLAND
HomeMichezo

MANCHESTER CITY YAPELEKEWA MBELE SIKU YA KUTWAA TAJI LA LIGI KUU ENGLAND

  KUPOTEZA kwa Manchester City mbele ya Chelsea kumewapunguzia kasi ya kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa kuwa waliacha pointi ...

SENZO ACHIMBA MKWARA MZITO, FURAHA KURUDI YANGA
MWAKINYO ATUMA UJUMBE WA SHUKRANI
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
 

KUPOTEZA kwa Manchester City mbele ya Chelsea kumewapunguzia kasi ya kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa kuwa waliacha pointi tatu mazima. 

Kwa kuyeyusha pointi hizo kwa sasa ni sawa na kusema kwamba Chelsea imewapeleka mbele siku ya City kutwaa taji hilo kwa kuwa wanapewa nafasi kubwa ya kuweza kulichukua mikononi mwa Liverpool iliyo nafasi ya 6 na pointi 57.

Raheem Sterling alianza kupachika bao la kuongoza dakika ya 44 ila Sergio Aguero alikosa penalti baada ya kutaka kufunga kwa mtindo wa Panenka.

Ni Hakim Ziyech dakika ya 63 na Marcos Alonso dakika ya 90+3 alipachika bao la ushindi na kufanya iwe ni wiki njema kwa Kocha Mkuu, Thomas Tuchel.

Pep Guardiola wa Manchester City bado anaweza kutwaa taji hilo wiki hii ikiwa Manchester United watakwama kushinda mbele ya Aston Villa.

Ni miaka nane ilikuwa imepita kwa Arguero baada ya kufunga bao muhimu lililowafanya City kuwa Mabingwa ila jana Panenka yake ilikwama kuipa taji City mbele ya Chelsea. 

Kwenye msimamo City ipo nafasi ya kwanza na pointi 80 Chelsea ipo nafasi ya tatu na pointi 64 zote zimecheza mechi 35.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MANCHESTER CITY YAPELEKEWA MBELE SIKU YA KUTWAA TAJI LA LIGI KUU ENGLAND
MANCHESTER CITY YAPELEKEWA MBELE SIKU YA KUTWAA TAJI LA LIGI KUU ENGLAND
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhtKN95XZgbnmhnnAGjU0PfqlkRM9JTwnqSYbixcUvuQlwSdVlacXaegeWViFasoEc1m55ZMaeETEEt5SGVGyIZ7l91KsMtafCN3l8CGg_6lFTcZ3pzpG1GwFjDKHMzYk_4XvPXhjF9gZCh/w506-h640/Screenshot_20210509-142740_Instagram.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhtKN95XZgbnmhnnAGjU0PfqlkRM9JTwnqSYbixcUvuQlwSdVlacXaegeWViFasoEc1m55ZMaeETEEt5SGVGyIZ7l91KsMtafCN3l8CGg_6lFTcZ3pzpG1GwFjDKHMzYk_4XvPXhjF9gZCh/s72-w506-c-h640/Screenshot_20210509-142740_Instagram.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/manchester-city-yapelekewa-mbele-siku.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/manchester-city-yapelekewa-mbele-siku.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy